Sunday, June 14, 2009

Walalo marebels unleash face 1 of 'operation tuvamie kenya'

Ile kirindi inajiita al shabaab from walalo land dat on thursday tishad 2 invade kenya coz tumeweka ma soldiers kaa thao kwa border ime unleash face 1 of its njama.
In a DVD delivered in liboi tao along da border by a kwishad ngamia dat chipped papo hapo afta kumaliza missioni, colonel risasi bin suesyde boma semad dat itaanza by dissing kenyan veve. "Tutasare kuveveka na veve kutoka meru juu mnadharau ile customer loyalty tunawapatia daily," he tetad in tha movie dat had swa sub-titles. "Kubaf, kumbe hizo mamilioni munatumia kuboti silaha ndio mucome kutustua. Sawa bas, uzieni hiyo veve yenu hao wangoso wana wasupply na ma A.K." Bin suesyde boma confessed his pips wud suffer withdrawal symptoms but aka insist "afadhali tubambike na moshi ya xhaust."
Step 2 itakuwa kukoma investing in easich n south c. "Hatuta spend doe kuboti mathree kila wiki za namba 9 au macager mugoya," he xplained. "Tutasunda hizo doe chini ya mattress instead."
Tatu is no mo bringin of ngombez from north eastern 2 nai. "Si mumezoea kufika kenyatta marko kumanga ugali choma. Mnadhani hiyo nyake imetoka wapi? Sasa muanze kuzoea sembe cabbage au ka hamuwezani, pia kuna crusade uhuru park kila lunchtime," he sed.
Bin suesyde boma ongezad dat invadin kenya ilikuwa option ya fao, but aka convince wadosi wake waende mos mos. "Wakenya, mnafaa munigay nuff respect juu kama sio ile MBA nilikwachu in soft skills management kutoka mogadishu metropolitan uni, raondi hii ingekuwa mapambano, mapambano."

No comments:

Post a Comment