Tuesday, March 30, 2010

Chongoaing Semenya, uhaba wa unga ya sembe, make Zuma lenga kuland JKIA

Breaking news fikiaing chekakiasi sez dat Zuma aka Msholozi aka Umshini Wami alikuwa na kila nia ya kuvisit Nai afta malizanaing with UG on Mar 26, lakini some ish unearthed by an advance team fanyad hiyo deal igonge ukuta.
Zuma aliland UG on Mar 25 kupimp SA to UG now that UG imekuwa nchi sonko afta iget mitungi billioni kadhaa za ngata majuzi. "Ndege ilikuwa imeload cargo ya waragi na matoke na orezo ashadunga seat belt when SMS ya dharura ililand semaing ati Nai munaita phone zile unaweza sunda sim card mbe 'Semenya', " tetas Tshabalala 'Sharpeville' Xshibololo, Zuma's PA ambaye anaotea B.E.E. deal soon ndiyo akawchu early retirement.
SA's Caster Semenya, the current 800m sonko kwenye mbio za madem, alishoiwa na IAAF August'09 apitie gender tests afta game yake became juu 2 sana 4 otha mamas 2 fikia. Test results zilibonga ako na ''characteristics'' za both charlie na dem. "Tuna respect ma atheletes wenu Mzansi (SA), otherwise tungekuwa na dishi inaitwa spaghetti Ndereba," Xshibololo sez. "Tume email Ubako na tuka CC Tinga our strongest protests na tukawashow waorganise joint press conference soon ordering nyi wasay msaray kuchongoa Semenya, at least over Easter jameni."
Uhaba wa unga ya sembe afta makauzi wapite na magunia yote from depots za NCPB in '09 pia ilichangia 2 Zuma lengaing jiji. "Orezo wetu analike sembe ni aji tangu awe mjnr kule Zululand," Xshibololo flosses. "So afta asikie ati mko na sembe wembe, sembe madondo na kadhalika, alishikwa na nyege za kuonja sembe yenu. But angalia vile mulijimess." Even tho gova ya Tinga na Ubako imeruhusu mei kutoka majuu iland coast, Zuma anashuku quality. "Si hata Juacali kwa ile track yake anatoboa vile siku hizi amepunguza sima na ako juu ya wali kwa sana."
Afta a UG watchie dedishad 2 Kenyanz somaing in Makerere kaa 2 wks ago, Xshibololo, who dindad kuconfirm au kudeny kama Msholozi alipiga raondi za kusaka wife muganda, anagwaya wadhii watarevenge on Zuma badala on M7. "Tumeget fununu ati mumepanga kumwaga ndizi kutoka airport hadi Nyayo stadi," Xshibololo xplains. "Hatuwezi kubali ndai ya Umshini Wami ibreakdance kwa hizo baro zenu mbovu. Kwani hamutaki apige nduki ya kwanza ya kufungua world cup?"