Monday, June 1, 2009

Charm brewers wanahope kuwai nyayo stadi deal

Mathays who ndonyo charm in nai wamechomoa mpango ya ulizaing wadosi wa nyayo stadi 2 let em brand it. Hii ni afta gova chujad da 3-yr deal dat had swung coke da right 2 rename hiyo place "coca-cola national stadium."
Mama Pima, mdosi wa new business development of tha Charm Brewers SACCO, sed ni wakati wa charm kupewa respect due afta miaka kaa 40 ya being hated on. "Ni antaji. Whacha nikusimulie histo mdogo. Wakoloni hawakulike ng'ang'u juu ilikuwa inapatia barley za kwao compay noma," she xplained, "So wakaichomea wire by saying oh ati inadhuru afya ya wadhii, oh sijui ng'ang'u inavunja ma famo, vako mob."
Mama Pima aliongeza ya kwamba charm bado iko chonjo depite kunyimwa its right 2 a fair trial ndani ya soko huru."Ebu jiulize, wale wadhii wewe hucheki mangware daily wakipiga kalesa hadi inda kutafuta unga unadhani jioni hao hupunguza stress za nini?" she axed.
Mama Pima alikubali SACCO yao haiwezi compete na coke which had chotad kaa ksh120m 4 da deal, but anasay wakipatiwa chance ya kupenya, watashine be4 2030. " Yenyewe 120 metre raondi hii hatuwezani nayo, lakini jiask, Mungiks wangeingilia hii bizna kama haingekuwa na doe?"
Kuhusu visa vya wateja kulostisha eyesight au kudedi afta kunywa ng'ang'u imeongezwa methanol xcess, Mama Pima reassured existing n potential customers dat SACCO yao haihusiki. "Ni hali ya bizna. Kila sekta iko na wakora, lakini SACCO yetu iko na code of conduct. Kwa mfano, ma members wetu hawawezi ongeza bei ovyo ovyo from hashu kila glass bila consensus. Sisi sio kaa campu za ngata."
Mama Pima announced dat Charm Brewers SACCO hivi karibuni itazindua awareness campaign kenya nzima kusensitise wadhii juu ya benefits za charm. "Tunapanga kuanza na hapa jiji nyayo stadi sikukuu ya madaraka. Tutakuwa na tent ndani ambayo tutainvite wasay waje wataste masamples," she said. "Tutashukuru sana kaa ubako na tinga watapitia, na tunahope baadae charm yetu haitasemekana ina ladha ya mavi ya kuku."

No comments:

Post a Comment