Sunday, July 5, 2009

Kenya n zim on each otha's case kuhusu iran's supuu tender

Iran imeshortlist kenya n zim in tha final rao of a tender 2 provide consultancy services kuhusu formin n runnin a grand coalition gova.
Prezzo ahmadinejad's recent reelection 4 a 2nd stay at state hse was kataliwad by mousavi, fuatwad by noma in teheran. "Afta annan suggested dat ahmadinejad abaki prezzo na mousavi awe prime minister, alitushow tusakanye skills kutoka nchi zingine with xperience kwa sector ya coalition gova," sez ali bin ali, a broker promising both countires dat watashinda hiyo tender.
Lakini kenya n zim wanazushiana 'bout ukora tactics 2 kwachu an unfair advantage. "Tunasikia kutoka sources za nguvu ya kwamba kenya imegay iran kahawa, tiabe na maua za saray," complains mucheburere muchaburara frm tha zim compe.
But kenya's mwangi opiyo, chaguliwad by consensus at a pnu/odm retreat at mau forest 2 be tha tender delegation mdosi, sez zee. "Whachana na hao mahaters kutoka zim, hawamesei kile wanabonga. Iko shida gani tukicome na kahawa na tiabe ya kenya kwa boardroom meeting na client?" Mwangi opiyo ongezas dat tha roses' harufu act as air fresheners ''coz saa zingine by mistake msay anaweza shu... shuuta."
He sez it's zim chezaing game haramu. "Mbona wanateta na tunasikia wameshow iran wataget kiraiko na labour za saray wakinab hiyo deal?" Zim is a serious tobacco n labour xporter yaani.
But mucheburere kataas dat shtaka. " Shindwe! makosa iko wapi tukirelax na client na kiraiko after meeting stressful mbele barley haikubaliwi huku?" He confirms no xcess labour frm zim is available juu wadhii kaa wote wako S.A.
Ali bin ali semas iran will amua mshindi either be4 kenya sets up tribunal au annan pelekas bahasha ya masuspects hague, whicheva cuts earlier. The winner kwachus free ngata hadi iran's next elections, with an option of nuclear power ''skills transfer'' at 50% discount.

No comments:

Post a Comment